Labels

Thursday, 22 September 2016

KOPA KWA SABABU

Hakuna asiyehitaji pesa ktk dunia ya leo ndio maana tunafanya kila juhudi kuzipata.
Bank zina pesa zikitaka watu wakope sana tena kwa wingi ila sasa ajabu yake ni kuwa sio wote wanaoenda kuomba pesa yaani mkopo wanapewa. kwa nn? na wewe hata kama unahitaji pesa kiasi lakini si kila pesa ni ya kuikubali.

No comments:

Post a Comment